Super Star wa Wiki TID
Super Star wetu wa wiki ni Kijana Maarufu sana kwa sasa kutoka Jiji Kuu la Dar es Salaam nchini Tanzania.Anavuma na vibao vyake vikali kama Mpenzi Zeze na GirlFriend........Hivi sasa anatisha sana East Africa nzima kubali usikubali mimi kijana huyu namkubali sana
|
|
Tuma Wazo/Maoni
Nawafagilia 'wazee' Prof Jay na King Crazy GK 'Bokasa' C mcehzo ndugu zangu tutake tusitake hawa wazee wanatisha kinoma katika fani, hata kama wakisema muziki wa kizazi kipya unashuka lakini wazee hawa bado wamesimama, kwa upande wa Jay yeye nampa pongezi za dhati kwa kwa kitu chake cha Msinitenge sio siri kitu kimetulia na kinaonyesha wazi jinsi Jay alivyosimama katika fani, kwa upande wa GK na wenzake wa East Coast nawapa pongezi zangu kwa kitu chao cha Ama Zako ama Zangu, c mchezo masela wangu kitu bomba sanasana video yenu, Bip Up Wazee.... - Josh, Kijitonyama - Tanzania
|
|
Kamata Explosions Zimeongoza 15th Sep - 02nd Jan
DarHotWire Website
LYRICS ZA KIBONGO
MSANII : INSPECTOR HAROUN WIMBO : ASALI WA MOYO
Kiitikio Wewe ndiye asali wangu wa moyo Kwa dhiki na faraja mpenzi kaza roho Ingawa watasema mengi midomoni mwao Usiwajali hao!!
Verse 1
Hizi tenzi madhubi kalili thabiti mahususi Kwako mpenzi swali liko wazi toka enzi Sio siri tena sibabaiki 'aeiou' hapana Sina kigugumizi tena domo sio gundi tena kinywa chepesi murua laini maridadi kabisa maneno natema uuhfh!! haaah nashusha pumzi na hema Mwana wa kahena nimekufa kimahaba Unanichanganya kimahaba unanichanganya kwa mambo mengi kisura kiumbo mshobo kama mpaka uroda Najua wanakutazama kwa jicho la husda dada Mtoto kichugwa kipoda tena bombaa Ni wao tu roho zao za choyo wewe ndio asali wa moyo Sintojali waniite zoba nimerogwa ama poyoyo Wanataka kuzua mkumumba na jakamoyo Hutu tuneno tudogodogo tusikupe shaka sana twende bega kwa bega Kama samaki na maji Mizizi na ardhi tuzidi kuwachanganya.
kiitikio
Verse 2
Ewe ndiwe asali wa moyo wangu Wanyuma yako wote nawaona machangu Kwangu kwangu nakupa shahada yauvumilivu Kwa wako utulivu sogea na utulize zetu mbivu
Woow! honey crazy! i cant bealive Nilipoanza kukutokea kukufukuzia Wanaa walianza kupaka tena kukandia aaah! hawezi kung'oa mtoto high class Yaani mgumu kama kisiki hang'oleki hata kwa leki kwanza hali yangu duni halafu nikijicheki sina 'Usponi town' kwetu chai rangi vitumbu andazi Nyumba mbavu za mbwa aliye nje anatuona waziwazi Wakati shori kwao mambo ya mshiko , midikodiko Chai ziwa juice passion,embe miwa 'rost' maini tambi,kolonya, laini laini shata shata nini shaka na vyapati vyapati Aaaaha eti ningempata wapi? Mh!! iwe bojo kaisii nikwenda muno Akanana kange ninkashaha engozi wanga wameuwawa mtaani ngebe zimezimwa mchuchu Kuvinjari nami Kila tozi atakae mtokea anamuona kama Osami Unajua wengi hawajui maana ya kupenda Unajuwa wengine wanaona uchafu hata kulamba denda Unajua wengine wanaona hofu kukashifiwa kwa kuwatokea watoto wa matajiri au uwoga wa kupigwa kalenda Na wangejua mapenzi hayachagui fukara wala mtawala,dini, kabila desturi mila mradi mmependana kama na B wangu tumeshibana
Rudia Kiitikio
Mtaa FM Website !
|
Binamu
Toleo Lijalo ni albamu mpya ya msanii Mwana FA ambayo kwa sasa imekuwa gumzo katika soko la muziki wa kizazi kipya kwa kuwa na nyimbo moto moto kama Alikufa kwa Ngoma na Wanapendana pamoja na nyingine nyingi bombaaa..je wewe umeikosa? usikubali nenda kanunue usiikose....!!
|